TSK

TSK · Luka 21:22

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Back to passage

Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii:

Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajilundikia adhabu kwa Siku ile ambayo ghadhabu ya Mungu na hukumu zake za haki vitadhihirishwa.

Lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la Mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha Mungu watahukumiwa na kuangamizwa.