Mathayo 3:2
TSK
"Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia."
TSK
Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.
"Tubuni, maana Ufalme wa mbinguni umekaribia."
Alipoanza kupata akili akafikiri: Mbona kuna wafanyakazi wengi wa baba yangu wanaokula na kusaza, nami ninakufa njaa?
Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.
Basi, kwa jina la Bwana, nawaonyeni: msiishi tena kama watu wasiomjua Mungu, ambao fikira zao zimekuwa upuuzi mtupu,