TSK

TSK · Yohana 1:21

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Rudi kwenye kifungu

Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Eliya ambaye angekuja.

Kisha wanafunzi wakamwuliza, "Mbona walimu wa Sheria wanasema ati ni lazima kwanza Eliya aje?"

Basi, wakamwuliza Yohane, "Kama wewe si Kristo, wala Eliya, wala yule nabii, mbona wabatiza?"