TSK

TSK · Yohana 10:39

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Rudi kwenye kifungu

Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.

Hapo wakaokota mawe ili wamtupie, lakini Yesu akajificha, akatoka Hekaluni.