Mathayo 13:51
TSK
Yesu akawauliza, "Je, mmeelewa mambo haya yote?" Wakamjibu, "Naam."
TSK
Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.
Yesu akawauliza, "Je, mmeelewa mambo haya yote?" Wakamjibu, "Naam."
Yesu alijua mawazo yao, akawaambia, "Enyi watu wenye imani haba! Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate?
"Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
Ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu mlio na huyo Roho. Nilipaswa kusema nanyi kama watu wa kidunia, kama watoto wachanga katika maisha ya Kikristo.
Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo kaza moyo, achana na dhambi zako.