TSK

TSK · Mathayo 21:28

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Rudi kwenye kifungu

Petro akajibu, "Naam, hulipa." Basi, Petro alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, "Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya ushuru au kodi kutoka kwa kina nani? Kutoka kwa wananchi ama kutoka kwa wageni?"

Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.

Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?"

Luka 13:4 TSK

Au wale kumi na wanane walioangukiwa na mnara kule Siloamu wakafa; mnadhani wao walikuwa wakosefu zaidi kuliko wengine wote walioishi Yerusalemu?

Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.