TSK

TSK · Mathayo 21:30

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Rudi kwenye kifungu

Kwa hiyo shikeni na kutekeleza chochote watakachowaambieni. Lakini msiyaige matendo yao, maana hawatekelezi yale wanayoyahubiri.

Tito 1:16 TSK

Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema.