TSK

TSK · Mathayo 21:44

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Rudi kwenye kifungu

Watu wote wakasema, "Damu yake na iwe juu yetu na juu ya watoto wetu!"

Yesu akamjibu, "Hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa na Mungu. Kwa sababu hiyo, yule aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi."

Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea.

Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.