Luka 10:1
TSK
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
TSK
مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.
Baada ya hayo, Bwana aliwachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawiliwawili, wamtangulie katika kila kijiji na mahali ambapo yeye mwenyewe alitaka kwenda.
Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.