Yohana 1:11
TSK
Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.
TSK
مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.
Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea.
Wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo ninyi nyote mtatawanyika kila mtu kwake, nami nitaachwa peke yangu. Kumbe, lakini mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami.
Lakini nilifadhaika sana kwa kutomkuta ndugu yetu Tito. Ndiyo maana niliwaaga wote pale nikaenda Makedonia.