TSK

TSK · Yohana 1:39

مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.

العودة إلى المقطع

Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

Naye Nathanieli akamwuliza Filipo, "Je, kitu chema chaweza kutoka Nazareti?" Filipo akamwambia, "Njoo uone."

Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu,

Kwa muda wa miaka miwili mizima Paulo aliishi katika nyumba aliyoipanga yeye mwenyewe; akawa anawakaribisha wote waliofika kumsalimu.