TSK

TSK · Luka 21:37

مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.

العودة إلى المقطع

Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,

Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.

Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;

Siku sita kabla ya sikukuu ya Pasaka, Yesu alifika Bethania alikoishi Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu.