Mathayo 17:11
TSK
Yesu akawajibu, "Kweli, Eliya atakuja kutayarisha mambo yote.
TSK
Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.
Yesu akawajibu, "Kweli, Eliya atakuja kutayarisha mambo yote.
Aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,
Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
maana hivyo viumbe navyo vitaokolewa kutoka katika utumwa wa uharibifu, vishiriki uhuru mtukufu wa watoto wa Mungu.
Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu.
Kisha malaika akaniambia, "Maneno haya ni ya kweli na ya kuaminika. Bwana Mungu ambaye huwapa manabii Roho wake, alimtuma malaika wake awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo lazima yatukie punde.