Maana, hata mimi niliye mtu chini ya mamlaka ya wengine, ninao askari chini yangu. Namwambia mmoja, Nenda! naye huenda; na mwingine, Njoo! naye huja; na mtumishi wangu, Fanya kitu hiki! naye hufanya."
TSK
TSK · Yohana 12:21
مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.
Mathayo 8:9
TSK
Mathayo 12:19
TSK
Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.
Luka 19:2
TSK
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
Yohana 1:43
TSK
Kesho yake Yesu aliamua kwenda Galilaya. Basi, akamkuta Filipo, akamwambia, "Nifuate."
Yohana 6:40
TSK
Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho."
Warumi 15:8
TSK
Maana, nawaambieni Kristo aliwatumikia Wayahudi apate kuonyesha uaminifu wa Mungu, na zile ahadi Mungu alizowapa babu zetu zipate kutimia;