TSK

TSK · Marko 13:36

Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.

Back to passage

Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.

Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.

Baada ya kusali, aliwarudia wanafunzi wake, akawakuta wamelala, kwani walikuwa na huzuni.

na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."