Mathayo 24:35
TSK
Naam, mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
TSK
Treasury of Scripture Knowledge references in Swahili NT.
Naam, mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.
Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.