TSK

TSK · Marko 13:36

مراجع Treasury of Scripture Knowledge في Swahili NT.

العودة إلى المقطع

Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.

Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.

Baada ya kusali, aliwarudia wanafunzi wake, akawakuta wamelala, kwani walikuwa na huzuni.

na kila kilichodhihirishwa huwa mwanga. Ndiyo maana Maandiko yasema: "Amka wewe uliyelala, fufuka kutoka wafu, naye Kristo atakuangaza."